1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari za Asubuhi tarehe 01.06.2018

John Juma
1 Juni 2018

Hatua ya Marekani kuweka ushuru katika chuma cha pua na bati kutoka Canada, Umoja wa Ulaya na Mexico yazidi kukosolewa,// Vyama vya kizalendo vya Italia vimekubaliana kufufua mipango ya kuunda serikali.//Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa, limeipa Sudan Kusini mwezi mmoja kupasa suluhisho la kiasa la sivyo maafisa wake sita wawekewe vikwazo.

https://p.dw.com/p/2yju4