1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Za Asubuhi 06.01.2018

Caro Robi
6 Januari 2018

Kitabu kinachomkashifu Rais wa Marekani Donald Trump chazidi kuzua mihemko Marekani//Marekani yashutumiwa kwa kuitisha mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa kujadili maandamano ya Iran//Umoja wa Mataifa kuanzisha uchunguzi kuhusu mauaji ya Wanajeshi 15 wa Tanzania waliouawa katika shambulizi nchini Congo.

https://p.dw.com/p/2qQFW