1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari za asubuhi 04.11.2017

Yusra Buwayhid
4 Novemba 2017

Uhispania yatoa waranti wa kukamatwa kwa aliyekuwa kiongozi wa Catalonia Carles Puigdemont. Kansela wa Ujerumani Angela Merkel asema muungano wa pande tatu unaweza kufanikiwa. Ufaransa yaitaka Urusi kusaidia katika kufikisha misaada nchini Syria.

https://p.dw.com/p/2n0iL