1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari ya asubuhi 20.12.2016

Sylvia Mwehozi
20 Desemba 2016

Tuliyo nayo: Watu 12 wameuawa baada ya dereva mmoja kulivurumisha lori katika umati wa watu mjini Berlin. Rais wa Urusi Vladmir Putin ameyaita mauaji ya balozi wa Urusi nchini Uturuki kuwa ni uchochezi wa kujaribu kuyaharibu mahusiano baina ya nchi hizo mbili na jopo maalum la wapiga kura nchini Marekani lamchagua Donald Trump kuwa rais.

https://p.dw.com/p/2UZeF