1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 23.02.2017

Grace Kabogo
23 Februari 2017

Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa, Antonio Guterres amesema umoja huo, unahitaji Dola bilioni 4.4 za dharura kwa ajili ya kuyasaidia mataifa yenye njaa//Ikulu ya Marekani imechelewesha kutangaza amri mpya za rais za kuwazuia raia wa mataifa saba ya Kiislamu kuingia nchini humo//Urusi imeitaka Syria kuacha mashambulizi wakati wa duru mpya ya mazungumzo ya amani yanayoanza leo mjini Geneva, Uswisi

https://p.dw.com/p/2Y6oj