1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 19.11.2017

Grace Kabogo
19 Novemba 2017

Rais wa Zimbabwe, Robert Mugabe leo anatarajiwa kukutana na jeshi la nchi hiyo kujadiliana kuhusu hatma yake // Mazungumzo ya kuunda serikali mpya ya muungano nchini Ujerumani yanaanza tena leo baada kushindwa kufikia makubaliano hapo jana // Waziri Mkuu wa Lebanon aliyetangaza kujiuzulu, Saad Hariri amesema atarejea Lebanon katika siku zijazo.

https://p.dw.com/p/2nsU9