1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya Habari Asubuhi 08.02.2018

Grace Kabogo
8 Februari 2018

Viongozi wa Ulaya wamepongeza hatua ya kufikiwa kwa makubaliano ya kuunda serikali mpya ya muungano nchini Ujerumani // Korea Kaskazini imesema haina mpango wa kukutana na maafisa wa Marekani wakati wa michezo ya Olimpiki ya majira ya baridi // Makamu wa Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ameahidi kutafuta suluhisho la haraka katika mazungumzo kuhusu hatma ya Rais Jacob Zuma.

https://p.dw.com/p/2sJ2y