Ujerumani imeadhimisha kumbukumbu ya miaka 500 ya Mageuzi ya Kiprotestanti ya Martin Luther katika mji wa mashariki wa Wittenberg // Watu wapatao wanane wameuawa mjini New York, Marekani na wengine kadhaa wamejeruhiwa vibaya baada ya dereva wa lori kuwagonga waendesha baiskeli na watembea kwa miguu // Mahakama ya Juu ya Uhispania imelizuia tangazo kuhusu uhuru wa Catalonia.