SiasaTaarifa ya habari 17.08.2017To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaSylvia Mwehozi17.08.201717 Agosti 2017Rais Donald Trump ameyafuta mabaraza yake mawili ya kibiashara katika Ikulu ya Marekani. Sierra Leone yawakumbuka waliofariki katika mkesha wa ibada. Na Saudi Arabia kuwaruhusu mahujaji wa Qatar kushiriki Hijja ya mwaka huu. https://p.dw.com/p/2iNWlMatangazo