1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya habari 05.11.2017

Yusra Buwayhid
5 Novemba 2017

Rais wa Marekani Donald Trump awasili nchini Japana katika ziara yake ya barani Asia. Maelfu waandamana mjini Bonn Ujerumani kupinga utumiaji wa makaa ya mawe kuelekea mkutano wa mabadiliko ya tabbia nchi. Wanawawafalme 10 wakamatwa nchini Saudi Arabia.

https://p.dw.com/p/2n2vD