1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Taarifa ya asubuhi 08.04.2017

Sylvia Mwehozi
8 Aprili 2017

Polisi nchini Sweden wamemkamata mwanaume wa pili anayeshukiwa kuhusika katika shambulio la lori siku ya Ijumaa, Marekani imeonya kwamba inaweza kuchukua hatua zaidi kuishambulia Syria. Na Rais Joseph Kabila amemtangaza Bruno Tshibala kuwa waziri mkuu mpya wa nchi hiyo.

https://p.dw.com/p/2auZK