1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Sinema katika migahawa Afrika Kusini

3 Desemba 2015

Calvin Phalaa ana umri wa miaka 24. Ana mashine ya sinema kuonyeshea filamu kwa watu wa mji alikozaliwa wa Siyabuswa. Kutokana na teknolojia ya kisasa, amekuwa bingwa wa burudani.

https://p.dw.com/p/1HGtq
Symbolbild Kino Film Filmstreifen
Picha: Fotolia/raul_17

Sinema katika migahawa Afrika Kusini