1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ruanda: Raia wa Ujerumani ashukiwa kuambukizwa Ebola

Samia Othman11 Agosti 2014

Kwa mara ya kwanza mgonjwa mwenye dalili za ugonjwa hatari wa Ebola amegundulika nchini Rwanda na tayari amewekwa kwenye sehemu yake pekee huku uchunguzi wa madaktari ukiendelea kubaini ikiwa kweli ana ugonjwa wa ebola.

https://p.dw.com/p/1CsNQ
Picha: picture-alliance/dpa

Mgonjwa huyo mwenye asili ya Ujerumani aliingia nchini Rwanda akitokea Liberia ambako ugonjwa huo sasa umekwisha gharimu maisha ya mamia ya watu.

Kutoka Kigali mwandishi wetu Sylivanus Karemera anaripoti zaidi. Kusikiliza ripoti hiyo bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini.

Mwanidishi: Sylivanus Karemera

Mhairiri: Josephat Charo