1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

OTTAWA:Bush ahudhuria mkutano nchini Canada

21 Agosti 2007
https://p.dw.com/p/CBXH

Rais G.W Bush wa Marekani yupo nchini Canada ambapo amekutana na waziri mkuu wa nchi hiyo pamoja na rais Felipe Calderon wa Mexiko kuzumngumzia juu ya usalama wa mipaka na biashara baina ya nchi zao.

Lakini polisi ya Canada imesema watu alfu 2 walifanya maandamano kupinga mkutano wa viongozi hao.