1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nini kinafuata baada ya Brexit?

Khelef Mohammed Mohammed1 Julai 2016

Asilimia 52 ya Waingereza wamepiga kura kusema wanataka nchi yao ijitoe kwenye Umoja wa Ulaya. Kura hiyo ya maoni imetikisa siasa za Uingereza na kumfanya Waziri Mkuu David Cameron kutangaza nia ya kujiuzulu. Katika kipindi cha Maoni, Mohammed Khelef na wachambuzi wanajadili hatma ya Uingereza.

https://p.dw.com/p/1JHXV