"Ngangari", "mdosi" na "kipute" yanamaanisha nini?
29 Juni 2011Matangazo
Sauda Barwani: "Neno 'ngangari' lilianza kutumika kwenye mikutano ya kisiasa, likimaanisha 'kakamaa', likiwa na lengo la kuwatia watu hamasa".
Omar Babu: "Mtu akisema yuko ngangari, anakusudia kuwa yuko imara....yuko thabiti!"
Mtayarishaji/Muongozaji: Othman Miraji
Washiriki/Wataalamu: Omar Babu (Chuo Kikuu cha Cologne), Sauda Barwani (Chuo Kikuu cha Hamburg), Profesa Abdulatif Abdalla (Chuo Kikuu cha Leipzig)