1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NEW DELHI: Mamilioni watengwa kwa mafuriko kusini mwa Asia

5 Agosti 2007
https://p.dw.com/p/CBbr

Idadi ya watu waliopteza maisha na makazi katika mafuriko,kusini mwa bara la Asia,inatazamiwa kupanda juu.Kwa mujibu wa Umoja wa Mataifa haya ni mafuriko mabaya kabisa kupata kushuhudiwa. Hadi hivi sasa,watu 249 wamefariki katika mafuriko yaliyosababishwa na msimu wa mvua kubwa. Kama watu wapatao milioni mbili,wametengwa kwa mafuriko nchini India,Bangladesh na Nepal.