1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Neuer atashiriki Dimba la Dunia nchini Urusi?

John Juma
23 Mei 2018

Manuel Neuer amekuwa mlinda lango bora wa Ujerumani kwa miaka mingi. Lakini kufuatia jeraha la mguu amekuwa pembeni kwa miezi kadhaa bila kucheza. Je atakuwa katika hali sawa kulinda lango kikosi cha Ujerumani kitakaposhiriki Kombe la Dunia nchini Urusi? Mengi zaidi kumhusu Neuer ni katika vidio hii

https://p.dw.com/p/2yD9N