1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Nape Nnauye akabiliana na makachero Dar es salaam

Sylvia Mwehozi
23 Machi 2017

Watu wanne wameuawa na wengine 40 kujeruhiwa katika shambulio linalochukuliwa kuwa la kigaidi jijini London. Frank-Walter Steinmeier ameapishwa rasmi kuwa rais mpya wa Ujerumani na Rais wa Tanzania John Magufuli afanya mabadiliko madogo ya baraza la mawaziri. Papo kwa Papo 23.03.2017

https://p.dw.com/p/2Zqbo