1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

NAIROBI: Wafanyakazi wa Umoja wa Mataifa kuondoshwa Somalia

13 Oktoba 2006
https://p.dw.com/p/CD3T

Umoja wa Mataifa unawahamisha wafanyakazi wake wa kigeni nchini Somalia kwa sababu za usalama.Kwa mujibu wa msemaji wa Umoja wa Mataifa katika mji mkuu wa Kenya,Nairobi-kumetolewa vitisho vya kuwaua wafanyakazi hao.