1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Moto katika mlima Kenya

20 Machi 2012

Makundi ya wanyama kama tembo na wengine wanakimbia moto mkubwa uliokuwa ukiteketeza msitu katika mlima Kenya , wakati kikosi cha kuhudumia wanyamapori nchini Kenya kikijitahidi kuudhibiti moto huo.

https://p.dw.com/p/14Nn1
Tembo wakiukimbia moto
Tembo wakiukimbia motoPicha: AP

Sekione Kitojo amezungumza na msemaji wa idara ya huduma kwa wanyamapori nchini Kenya, "Kenya Wildlife Service", Paul Udoto na alitaka kwanza kujua ni athari kiasi gani imetokana na moto huo.

(Kusikiliza mazungumzo hayo tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni)

Mwandishi : Sekione Kitojo

Mhariri:Abdul-Rahman Mohammed