Moscow. Watu 10 wauwawa kwa mlipuko.
14 Mei 2007Matangazo
Shirika la habari la Russia limesema kuwa kiasi watu 10 wameuwawa katika mlipuko uliotokea katika mkahawa katika mji wa Orsk kusini mwa milima ya Ural.
Shirika hilo limesema kuwa polisi bado wanachunguza sababu ya mlipuko huo. Orsk uko karibu na mpaka wa Russia na Kazakhstan.