1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mohammed Mursi

Mohamed Morsi ni mwanasiasa wa Misri na rais wa tano wa taifa hilo kuanzia Juni 30 2012 hadi Julai 3 2013, alipopinduliwa na mkuu wa majeshi Abdel-Fatah al-Sisi, kufuatia maandamano makubwa ya kupinga utawala wake.