Urusi na mataifa ya magharibi yanatariwa kujadili kwa kina maswala ya nishati ya silaha kwenye mkutano wa kitaifa kuhusu usalama utakaofanyika kesho mjini Munich hapa Ujerumani. Rais wa Urusi Vladamir Putin anatarajiwa kuhudhuria mkutano wa 43 kuhusu usalama kama mshirika wa matafa ya magharibi na ambaye sera zake za kisiasa zimekuwa zikilitiliwa shaka.