Mkutano wa UNDP mjini Kongo Brazaville26.04.200726 Aprili 2007Mkutano wa mwaka wa Umoja wa mataifa juu ya maendeleo ya kudumu barani Afrika umefanyika mjini Kongo Brazaville.https://p.dw.com/p/CHFQMatangazoMkutano huo wa siku tano ulifunguliwa na naibu katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Bibi Asha Rose Migiro. Mwandishi wetu Saleh Mwanamilongo anaripoti zaidi.