ADB Annual Conference
14 Mei 2008Matangazo
Mkuu wa benki hiyo, Donald Kaberuka, alionya kwamba vipimo vinavopanda vya kukua uchumi katika nchi za Afrika havionyeshi taathira katika kupungua viwango vya umaskini katika nchi hizo. Alisema bei zinazopanda za vyakula, upungufu wa nishati na dunia kuwa na ujoto zaidi ni mambo yatakayozingatiwa katika mkutano huo wa siku mbili.
Othman Miraji alizungumza na mwandishi wa habari Emmanuel Camilo, anayehudhuria mkutano huo, na mwanzo alimuelezea juu ya yale yaliomo katika ajenda ya mkutano huo...