Serikali ya Kenya imemuweka kizuizini mwanasiasa wa upinzani Miguna Miguna mwenye uraia wa Canada na yataka kumrejesha alipotoka kwa mara nyingine, licha ya amri ya mahakama kumruhusu kuingia nchini Kenya.
https://p.dw.com/p/2v4Da
Matangazo
Dw ilizungumza na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Nairobi, Herman Manyora, kutaka kujuwa Wakenya wanalizungumziaje tukio hilo?