1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mgomo wa Madaktari nchini Tanzania

9 Machi 2012

Mgomo wa madaktari unaoendeleo nchini Tanzania umeanza kuvuruga huduma za afya huku baadhi ya hospitali ikiwemo ile ya taifa muhimbili ikisimamisha baadhi ya huduma zake.

https://p.dw.com/p/14I6k
Madaktari wagoma tena
Madaktari wagoma tenaPicha: picture-alliance/ dpa

Kwa ujumla kuna hali ya masikitiko na manung'uniko toka kwa wananchi ambao baadhi yao wameanza kuwaondosha wagonjwa wao toka hospitalini.

Kutoka Daresalaam George Njogopa na taarifa kamili.

(Kusikiliza taarifa hiyo tafadhali bonyeza alama ya spika hapo chini)

Mwandishi: George Njogopa

Mhariri: Mohamed Abdulrahman

Ruka sehemu inayofuata Gundua zaidi

Gundua zaidi