1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matumizi ya mitandao ya kijamii uchaguzi Kenya

Elizabeth Shoo18 Julai 2017

Agosti 8 Wakenya watafanya uchaguzi mkuu. Walioko madarakani na wanaotamani kushika nafasi wanajikita Facebook, Twitter, WhatsApp na Instagram kusambaza sera zao lakini pia uvumi na maneno ya kuwachafua wapinzani wao. Tunaliangalia suala hilo kwa ukaribu zaidi katika Sema Uvume.

https://p.dw.com/p/2gi0z