1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matokeo ya kura DRC yaanza kubandikwa

29 Novemba 2011

Matokeo ya mwanzo ya uchaguzi yameanza kubandikwa katika baadhi ya vituo vya kupigia kura katika jamuhuri ya kidemokrasi ya Kongo, huku hali ya usalama ikitajwa kuwa shwari katika mji mkuu Kishansa.

https://p.dw.com/p/13Izi
Masanduku ya kuraPicha: picture-alliance/dpa

Taarifa zinaeleza kwamba kulikuwa na hali ya wasiwasi wa kuibuka machafuko baada ya zoezi la kupiga kura hapo jana. Matokeo rasmi yanatarajiwa kutangazwa tarehe 6 Desemba.

Ripoti: Saleh Mwanamilongo
Mhariri Othman Miraji