Tume ya huru ya uchaguzi na mipaka Kenya, IEBC inatarajiwa kumtangaza mshindi wa kiti cha urais. Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Sigmar Gabriel ameitembelea Sudan Kusini. Na Umoja wa Ulaya kuitisha mkutano wa dharura kuhusu kashfa ya mayai. Papo kwa Papo 11.08.2017