1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matokeo rasmi Kenya bado

Sylvia Mwehozi
11 Agosti 2017

Tume ya huru ya uchaguzi na mipaka Kenya, IEBC inatarajiwa kumtangaza mshindi wa kiti cha urais. Waziri wa mambo ya nje wa Ujerumani Sigmar Gabriel ameitembelea Sudan Kusini. Na Umoja wa Ulaya kuitisha mkutano wa dharura kuhusu kashfa ya mayai. Papo kwa Papo 11.08.2017

https://p.dw.com/p/2i5pv