1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana, saa 7:00 (Afrika Mashariki)

5 Mei 2018

Utawala wa Rais Donald Trump wa Marekani umetangaza kwamba umesitisha mpango wa kuwahifadhi maelfu ya Wahonduras wanaoishi Marekani na kwamba wana miezi ishirini kuondoka nchini humo//Chama cha Kihafidhina cha Waziri Mkuu wa Uingereza Theresa May kimepata matokeo mazuri kuliko ilivyotarajiwa katika uchaguzi wa serikali za mitaa.

https://p.dw.com/p/2xDZS