1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 23.09.2017

Zainab Aziz
23 Septemba 2017

Katika matangazo yetu leo mchana: Iran yafanya majaribio mapya ya kombora la masafa marefu. Wagombea katika uchaguzi mkuu wa Ujerumani watafuta kura za mwisho mwisho kabla ya uchaguzi wa hapo kesho. China yaishinikiza Korea Kaskazini kwa kutekeleza vikwazo dhidi ya nchi hiyo.

https://p.dw.com/p/2kZOf