Austria inaingia katika duru ya pili ya uchaguzi huku kiongozi wa chama cha Uhuru Norbert Hofer akiwa anaongoza, Sauti ya mawasilaino baina ya rubani wa EgyptAir na mwongozaji ndege yadhihirisha hakujakuwa na matatizo kabla ya ndege hiyo kuanguka, Na jeshi la Iraq lajitayarisha kuukomboa mji wa Falluja