1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 11.11.2017

Zainab Aziz
11 Novemba 2017

Kwenye matangazo yetu leo mchana: Rais wa Marekani Donald Trump na mwenziwe wa Urusi Vladimir Putin wasema nguvu za kijeshi sio suluhisho la Syria. Mkataba wa biashara huru wa nchi za Asia na Pacific kuendelea bila ya Marekani. Lebanon yamtaka waziri wake mkuu Saad al Hariri arejee nyumbani.

https://p.dw.com/p/2nSpf