1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Mchana 02.09.2017

Grace Kabogo
2 Septemba 2017

Kansela wa Ujerumani, Angela Merkel ametoa wito kufikiriwa upya mtazamo wa nchi yake kuelekea Uturuki // Rais Donald Trump wa Marekani ameliomba baraza la Congress kumpatia dola bilioni 7.85 ili kukabiliana na maafa ya kimbunga Harvey // Mamia ya wapiganaji wa kundi linalojiita Dola la Kiislamu, wamehamishiwa kwenye mpaka wa Iraq.

https://p.dw.com/p/2jFbn