1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 22.05.2016

SK2 / S02S22 Mei 2016

Chama tawala cha Uturuki AKP chamchagua Binali Yildirim kuwa kiongozi wake mpya wa chama, Serikali ya Misri yatuma nyambizi kutafuta kisanduku cha mawasiliano cha ndege ya EgyptAir iliyoanguka, na Urusi yafanya mashambulizi mjini Aleppo licha ya makubaliano ya suluhu

https://p.dw.com/p/1IscH