1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 04.06.2017

Zainab Aziz
4 Juni 2017

Kwenye matangazo yetu leo jioni: Watuhumiwa 12 wakamatwa na polisi mjini London kufuatia shambulio la kigaidi la jana usiku. Wanajeshi wa serikali ya Syria waukomboa mji wa mashariki ya Aleppo uliokuwa muhimu kwa wapiganaji wanaojiita Dola la kiislamu IS. Idadi ya mashabiki waliojeruhiwa kwenye uwanja wa mpira nchini Italia katika fainali kati ya Juventus na Real Madrid yaongezeka.

https://p.dw.com/p/2e7N3