SiasaMatangazo ya Jioni 03.06.2018To play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaZainab Aziz03.06.20183 Juni 2018Marekani yasema itaendelea kuweka vikwazo dhidi ya Korea Kaskazini. Kansela Merkel ajibu mapendekezo ya Macron juu ya mageuzi ya Umoja wa Ulaya. Miili zaidi ya 30 yapatikana baada ya mashua kuzama kwenye pwani ya Tunisia.https://p.dw.com/p/2ysFyMatangazo