1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Matangazo ya Jioni 03.03.2018

Sylvia Mwehozi
3 Machi 2018

Tuliyo nayo jioni hii: Vikosi vya jeshi la Syria vimezidi kusonga mbele huko Ghouta Mashariki. Jumla ya mashambulizi 950 yaliyowalenga Waislamu na taaasisi za Kiislamu, yaripotiwa nchini Ujerumani kwa mwaka uliopita. Iran, yasema hapawezi kuwa na mazungumzo yanayohusu mpango wa nchi hiyo wa makombora bila ya mataifa ya Magharibi kuteketeza silaha zake za nyuklia.

https://p.dw.com/p/2tdrn