20 Novemba 2017
Matangazo
Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe akaidi miito inayomtaka kujiuzulu, Mazungumzo ya kuunda serikali ya muungano wa vyama hapa Ujerumani yamevunjika, Watu wanne wameuawa katika ghasia nchini Kenya wakati nchi hiyo ikisubiri uamuzi wa mahakama kuu juu ya uhalali wa uchaguzi mpya wa rais.