Viongozi wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Ushirikiano na Maendeleo ya Pembe ya Afrika-IGAD wanakutana mjini Nairobi leo. Kusainiwa kwa Mikataba ya Roma tarehe 25 mwezi wa Machi mwaka 1957 ndiyo ulikuwa wakati wa kuzaliwa kwa Umoja wa Ulaya. Maonesho makubwa kabisa duniani ya teknolojia ya mawasiliano na habari ya CeBIT, huko mjini Hannover yamemalizika jana jioni.