Rwanda inawafungia maskini wasionekane hadharani takariban katika vituo 28 vya mpito nchini humo ambapo vipigo ni jambo la kawaida katika vituo hivyo. Inadaiwa kuna waliopoteza maisha yao katika vituo hivyo au baada ya kuachiliwa. Mbiu ya Mnyonge inaangazia ripoti ya Shirika Human Rights Watch iliyobainisha hayo.