SiasaMarekani kuitambua Jerusalem kuwa mji mkuu wa IsraelTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaZainab Aziz Salim-Mtullya06.12.20176 Desemba 2017Uamuzi anaotarajia kuufanya Rais wa Marekani Donald Trump kuhusu kuuhamisha ubalozi wa nchi yake huko nchini Israel kutoka mjini Tel Aviv na kuupeleka Jerusalem unazusha hofu kuhusu matumaini ya amani Mashariki ya Katihttps://p.dw.com/p/2osNKMatangazo