Mapigano yazuka upya Mashariki mwa Kongo
4 Septemba 2008Matangazo
Mapigano hayo yalitokea kufuatia maandamano ya raia wa Rutchuru hapo jana ambapo kifaru kimoja cha jeshi kilichomwa na wanajeshi wawili wa Umoja wa Mataifa kujeruhiwa.Itakumbukwa kuwa makubaliano ya amani yalitiwa saini mwezi Januari mwaka huu japo mapigano bado yanazuka mara kwa mara.
Kutoka Goma mwandishi wetu John Kanyunyu ametuandalia taarifa ifuatayo.