1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mapigano nchini Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo

1 Februari 2007

Kina mapigano yanayoendelea baina ya jeshi la serikali na kundi moja la waasi la kamanda aliyejitenga katika maeneo ya milima ya Minembwe katika wilaya ya Uvira mkoani Kivu ya Kusini huko kaskazini mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo.

https://p.dw.com/p/CHL0
Mwandishi wetu John Kanyunyu kutoka mashariki mwa Kongo ana ripoti kamili.