1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mahojiano na Seif Shariff Hamad baada ya kutangazwa matokeo ya uchaguzi Zanzibar

3 Novemba 2010

Seif Shariff Hamad akosa tena urais wa Zanzibar.

https://p.dw.com/p/PwFI
Picha: AP

Mtetezi wa chama cha CCM visiwani Zanzibar kwa urais wa visiwa hivyo, Dk.Ali Mohamed Shein, amepata ushindi wa asilimia 50.1 ya kura. Mpinzani wake kutoka chama cha CUF, Maalim Seif Shariff Hamad, amepata asilimia 49.1 ya kura.

Othman Miraji amefanya mahojiano na Seif Shariff Hamad.

Mhariri: Othman Miraji

Mpitiaji: Oummilkheir Hamidou