1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Mahakama kuwahoji Odinga na Musyoka

10 Oktoba 2017

Mwendesha mashitaka Kenya ameagiza viongozi wa muunganao wa upinzani NASA, Raila Odinga na Kalonzo Musyoka, wahojiwe kuhusiana na kauli zao walizotoa kuwa uchaguzi mpya wa Oktoba 26 hautafanyika.

https://p.dw.com/p/2lMxz
Raila Odinga (kushoto) na Kalonzo Musyoka
Picha: Getty Images/AFP/S. Maina

MMT_J2,06,10,2017_ Interview Manyora -Kenya Election - MP3-Stereo

Mahakama ya Juu iliamuru uchaguzi mkuu urudiwe baada ya kufuta matokeo ya awali ya uchaguzi wa August 8, ambapo rais Uhuru Kenyatta alishinda. DW imezungumza na mmoja wa wachambuzi nchini humo, Herman Manyora ambaye anatoa maoni yake kuhusiana na hatua hiyo.