Mabadiliko yaliyofanywa jana katika baraza la mawaziri nchini Kenya ambapo Waziri wa Utalii Najib Balala aliondolewa katika wadhifa wake yamezua hisia mbali mbali miongoni mwa wakenya.
https://p.dw.com/p/14SkX
Matangazo
Kutoka Nairobi,mwandishi wetu Alfred Kiti na ripoti kamili.
(Kusikiliza ripoti hiyo tafadhali bonyeza alama ya spika za masikioni hapo chini)