1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kura ya Maoni Visiwani Komoro

18 Mei 2009

Huko visiwani Comoro tume ya uchaguzi inasubiriwa kutoa matokeo rasmi ya uchaguzi wa kura ya maoni ya kurekebisha katiba na sheria ya nchi uliomalizika hapo jana nchini humo.

https://p.dw.com/p/Hsc7
Rais wa Komoro Bw.Ahmed Abdallah Mohamed SambiPicha: picture-alliance/ dpa

Kurekebishwa kwa sheria hiyo kunatokana na serikali ya muungano chini ya rais wake, Ahmed Abdallah Sambi, kuondoa ule mfumo uliopo hivi sasa wa kuwepo kwa marais watatu wa visiwa vya Ngazija, Nzuwani na Mwali na kuwa na bunge lao na hata mabaraza ya mawaziri wa visiwa hivyo. Mwandishi wetu Abdulrahman Baramia anaripoti kutoka Moroni.


Mwandishi: Abdulrahman Baramia

Mhariri: Josephat Charo